channel logo dark
Jua Kali
channel logo dark

Jua Kali

160Tamthilia16

Habari ya hivi karibuni

Season 1
Season 1
Wolper na Kadinda Ndani ya DStvJoto kuelekea kuanza kwa kipindi cha TheMakeOver linazidi kupanda, Hawa hapa majaji wetu. Watakuwa ni majaji wa namna gani?
Season 1
Tamthilia uliyochochea hisia na mawazo ya watazamaji - GharikaSafari ya Malika na ndoto zake zenye vikwazo vimetuacha tukijiuliza, je, kosa moja linaweza kubadilisha kila kitu?
Season 1
"The Makeover" Kabumbu la brush na powder Kuanzia Aprili 25, usikose safari hii ya kusisimua ya washiriki na timu ya wataalamu wakiongozwa na Annie Independent, Jacqueline Wolper, Martin Kadinda na Alma.
Season 1
Kaa nyumbani wakati wa mvua ukitumia Maisha Magic Bongo Msimu huu wa mvua, jifunike vizuri na ufurahie season finale za tamthilia kali—Gharika na Yolanda—kwenye Maisha Magic Bongo, DStv Channel 160. Je, haki itashinda ndani ya Gharika au wahusika watazama kwenye mafuriko ya hatima zao? Na Yolanda, ataweza kujinasua au njama zitamzamisha? Usikose! Nje kunanyesha na kuna kibaridi, lakini ndani kuna hadithi zenye joto la burudani isiyo na kifani!
Season 1
Sababu za watanzania kuvutiwa na tamthilia za kituruki-My Name is FarahKatika miaka ya hivi karibuni, tamthilia za kituruki zimejipatia maarufu mkubwa nchini Tanzania. Kila wiki, maelfu ya Watanzania wanajiunga na kuangalia tamthilia kama My Name is Farah, ambapo wahusika wake na hadithi zao zimewavutia wengi.
My Name is Farah
"My Name is Farah" yawafurahisha watazamaji wa Afrika MasharikiTelenovela mpya kutoka Uturuki, "My Name is Farah," imezidi kuwavutia watazamaji wa Afrika Mashariki kwa hadithi yake yenye kusisimua na wahusika wanaovutia.
Kitimtim Yazoa Tuzo
Kitimtim Yashinda Tuzo Kubwa!Tasnia ya vichekesho Tanzania ilishuhudia usiku wa sherehe na kutambuliwa wikendi iliyopita katika Tuzo za Vichekesho Tanzania(Tanzania Comedy Awards) zilizofanyika Februari 23, jijini Dar es Salaam.
Kali mpya ndani ya maisha magic bongo

Yajayo

Leo
Kesho
Jumatano
Alhamisi
Jumamosi